2 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu. Waefeso 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ninyi pia mlimtumaini yeye baada ya kulisikia neno la kweli,+ habari njema juu ya wokovu+ wenu. Kupitia yeye pia, baada ya ninyi kuamini, mlitiwa muhuri+ kwa roho takatifu iliyoahidiwa,+ Waefeso 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu+ ya Mungu, ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ya kuachiliwa huru kupitia fidia.+
22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu.
13 Lakini ninyi pia mlimtumaini yeye baada ya kulisikia neno la kweli,+ habari njema juu ya wokovu+ wenu. Kupitia yeye pia, baada ya ninyi kuamini, mlitiwa muhuri+ kwa roho takatifu iliyoahidiwa,+
30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu+ ya Mungu, ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ya kuachiliwa huru kupitia fidia.+