2 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu. Waefeso 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu+ ya Mungu, ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ya kuachiliwa huru kupitia fidia.+ Ufunuo 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikaisikia hesabu ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila+ la wana wa Israeli:+
22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu.
30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu+ ya Mungu, ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ya kuachiliwa huru kupitia fidia.+
4 Nami nikaisikia hesabu ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila+ la wana wa Israeli:+