Waroma 2:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+ Waroma 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, si kwamba neno la Mungu lilikuwa limeshindwa.+ Kwa maana si wote wanaotokana na Israeli ni “Israeli” kikweli.+ Wagalatia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+
29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+
6 Hata hivyo, si kwamba neno la Mungu lilikuwa limeshindwa.+ Kwa maana si wote wanaotokana na Israeli ni “Israeli” kikweli.+
16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+