Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nanyi mtatahiri govi la mioyo+ yenu wala msifanye shingo zenu kuwa ngumu tena.+

  • Kumbukumbu la Torati 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova Mungu wako atautahiri moyo wako+ na moyo wa uzao wako,+ ili wewe umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote kwa ajili ya uhai wako.+

  • Yeremia 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tahiriweni kwa ajili ya Yehova, na kuondoa magovi ya mioyo yenu,+ ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu; ili ghadhabu yangu isitoke kama moto, na hakika iteketeze bila yeyote wa kuizima, kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu.”+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

  • Wafilipi 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana sisi ndio wenye tohara ya kweli,+ ambao tunatoa utumishi mtakatifu kwa njia ya roho+ ya Mungu nasi tunajisifu katika Kristo Yesu+ na hatuna uhakika wetu katika mwili,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki