17 ‘ “Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili, nao wana wenu na binti zenu watatoa unabii nao wanaume wenu vijana wataona maono na wazee wenu wataota ndoto;+
26 Vivyo hivyo roho+ pia hujiunga kutoa msaada kwa ajili ya udhaifu wetu;+ kwa maana lile tatizo kuhusu tunalohitaji kusali hatujui,+ lakini roho+ yenyewe hutuombea pamoja na kuugua kusikotamkwa.