Yakobo 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Yakobo,+ mtumwa+ wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila+ kumi na mawili yaliyotawanyika+ huku na huku: Salamu! Ufunuo 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lilikuwa na ukuta+ mkubwa na mrefu sana nalo lilikuwa na malango kumi na mawili, na kwenye hayo malango malaika kumi na wawili, na majina yalikuwa yameandikwa ambayo ni yale ya makabila kumi na mawili ya wana wa Israeli.+
1 Yakobo,+ mtumwa+ wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila+ kumi na mawili yaliyotawanyika+ huku na huku: Salamu!
12 Lilikuwa na ukuta+ mkubwa na mrefu sana nalo lilikuwa na malango kumi na mawili, na kwenye hayo malango malaika kumi na wawili, na majina yalikuwa yameandikwa ambayo ni yale ya makabila kumi na mawili ya wana wa Israeli.+