21 Na hayo mawe yatakuwa kulingana na majina ya wana wa Israeli, wale kumi na wawili kulingana na majina yao.+ Kwa michongo ya muhuri yatakuwa, kila moja kulingana na jina lake, kwa ajili ya yale makabila kumi na mawili.+
14 Na mawe hayo yalikuwa kulingana na majina ya wana wa Israeli. Yalikuwa kumi na mawili kulingana na majina yao, kwa michongo ya muhuri, kila moja kulingana na jina lake kwa ajili ya yale makabila kumi na mawili.+