Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova akatokea tena+ katika Shilo, kwa kuwa Yehova alijifunua kwa Samweli katika Shilo kwa neno lake Yehova.+

  • 2 Samweli 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Roho ya Yehova ndiyo iliyosema kupitia mimi,+

      Na neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+

  • Yeremia 37:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha neno la Yehova likamjia Yeremia nabii, na kusema:

  • 2 Timotheo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki