1 Samweli 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Yehova akaanza kumwita Samweli. Naye akasema: “Mimi hapa.”+ Zaburi 99:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+ Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+