31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.
4 Nao wakaambiwa wasidhuru majani ya dunia wala mmea wowote wala mti wowote, isipokuwa tu wale wanadamu wasio na muhuri wa Mungu juu ya mapaji ya nyuso zao.+