Mwanzo 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+ Mwanzo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini taifa watakalolitumikia mimi ninalihukumu,+ na baada ya hapo wataondoka na mali nyingi.+ Yoshua 21:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia katika ahadi zote nzuri ambazo Yehova alikuwa ameipa nyumba ya Israeli; mambo yote yalitimia.+ 1 Wafalme 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akaendelea kusema: “Amebarikiwa Yehova+ Mungu wa Israeli, aliyesema kwa kinywa chake mwenyewe na Daudi+ baba yangu na kwa mkono wake mwenyewe ametimiza,+ akisema,
2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+
45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia katika ahadi zote nzuri ambazo Yehova alikuwa ameipa nyumba ya Israeli; mambo yote yalitimia.+
15 Naye akaendelea kusema: “Amebarikiwa Yehova+ Mungu wa Israeli, aliyesema kwa kinywa chake mwenyewe na Daudi+ baba yangu na kwa mkono wake mwenyewe ametimiza,+ akisema,