Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+

  • Mwanzo 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini taifa watakalolitumikia mimi ninalihukumu,+ na baada ya hapo wataondoka na mali nyingi.+

  • Yoshua 21:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia katika ahadi zote nzuri ambazo Yehova alikuwa ameipa nyumba ya Israeli; mambo yote yalitimia.+

  • 1 Wafalme 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akaendelea kusema: “Amebarikiwa Yehova+ Mungu wa Israeli, aliyesema kwa kinywa chake mwenyewe na Daudi+ baba yangu na kwa mkono wake mwenyewe ametimiza,+ akisema,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki