Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Majina ya wale mitume kumi na wawili+ ndiyo haya:+ Kwanza, Simoni, anaiyeitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; na Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake;

  • Marko 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baada ya kusonga mbele kidogo akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu yake walipokuwa katika mashua yao wakitengeneza nyavu zao;+

  • Yohana 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Petro alipogeuka, alimwona mwanafunzi ambaye Yesu alikuwa akimpenda,+ akifuata, yule ambaye kwenye mlo wa jioni alikuwa pia ameegemea nyuma kifuani pake akasema: “Bwana, ni nani anayekusaliti?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki