2 Majina ya wale mitume kumi na wawili+ ndiyo haya:+ Kwanza, Simoni, anaiyeitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; na Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake;
20 Petro alipogeuka, alimwona mwanafunzi ambaye Yesu alikuwa akimpenda,+ akifuata, yule ambaye kwenye mlo wa jioni alikuwa pia ameegemea nyuma kifuani pake akasema: “Bwana, ni nani anayekusaliti?”