Mathayo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Pia, alipoendelea mbele kutoka hapo akaona wengine wawili+ waliokuwa ndugu, Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake, katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita. Marko 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu ya Yakobo+ (hawa pia aliwapa jina Boanerge, ambalo linamaanisha Wana wa Ngurumo),
21 Pia, alipoendelea mbele kutoka hapo akaona wengine wawili+ waliokuwa ndugu, Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake, katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita.
17 na Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu ya Yakobo+ (hawa pia aliwapa jina Boanerge, ambalo linamaanisha Wana wa Ngurumo),