Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Majina ya wale mitume kumi na wawili+ ndiyo haya:+ Kwanza, Simoni, anaiyeitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; na Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake;

  • Mathayo 27:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 ambao kati yao alikuwamo Maria Magdalene, pia Maria mama ya Yakobo na Yose, na mama ya wana wa Zebedayo.+

  • Marko 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 na Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu ya Yakobo+ (hawa pia aliwapa jina Boanerge, ambalo linamaanisha Wana wa Ngurumo),

  • Marko 10:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na Yakobo na Yohana, wana wawili wa Zebedayo,+ wakamwendea na kumwambia: “Mwalimu, tunataka utufanyie chochote tutakachokuomba.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki