Mathayo 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Majina ya wale mitume kumi na wawili+ ndiyo haya:+ Kwanza, Simoni, anaiyeitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; na Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake; Mathayo 27:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 ambao kati yao alikuwamo Maria Magdalene, pia Maria mama ya Yakobo na Yose, na mama ya wana wa Zebedayo.+ Marko 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu ya Yakobo+ (hawa pia aliwapa jina Boanerge, ambalo linamaanisha Wana wa Ngurumo), Marko 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na Yakobo na Yohana, wana wawili wa Zebedayo,+ wakamwendea na kumwambia: “Mwalimu, tunataka utufanyie chochote tutakachokuomba.”+
2 Majina ya wale mitume kumi na wawili+ ndiyo haya:+ Kwanza, Simoni, anaiyeitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; na Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake;
56 ambao kati yao alikuwamo Maria Magdalene, pia Maria mama ya Yakobo na Yose, na mama ya wana wa Zebedayo.+
17 na Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu ya Yakobo+ (hawa pia aliwapa jina Boanerge, ambalo linamaanisha Wana wa Ngurumo),
35 Na Yakobo na Yohana, wana wawili wa Zebedayo,+ wakamwendea na kumwambia: “Mwalimu, tunataka utufanyie chochote tutakachokuomba.”+