Mathayo 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo mama ya wana wa Zebedayo+ akamkaribia akiwa pamoja na wanawe, akamsujudia na kuomba kitu fulani kutoka kwake.+ Marko 15:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kulikuwa pia na wanawake wakitazama wakiwa mbali,+ kati yao Maria Magdalene na vilevile Maria mama ya Yakobo Mdogo na Yose, na Salome,+ Yohana 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hata hivyo, kando ya mti wa mateso wa Yesu, walikuwa wamesimama mama+ yake na dada ya mama yake; Maria+ mke wa Klopa, na Maria Magdalene.+
20 Ndipo mama ya wana wa Zebedayo+ akamkaribia akiwa pamoja na wanawe, akamsujudia na kuomba kitu fulani kutoka kwake.+
40 Kulikuwa pia na wanawake wakitazama wakiwa mbali,+ kati yao Maria Magdalene na vilevile Maria mama ya Yakobo Mdogo na Yose, na Salome,+
25 Hata hivyo, kando ya mti wa mateso wa Yesu, walikuwa wamesimama mama+ yake na dada ya mama yake; Maria+ mke wa Klopa, na Maria Magdalene.+