Mathayo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Pia, alipoendelea mbele kutoka hapo akaona wengine wawili+ waliokuwa ndugu, Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake, katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita. Mathayo 27:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 ambao kati yao alikuwamo Maria Magdalene, pia Maria mama ya Yakobo na Yose, na mama ya wana wa Zebedayo.+
21 Pia, alipoendelea mbele kutoka hapo akaona wengine wawili+ waliokuwa ndugu, Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake, katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita.
56 ambao kati yao alikuwamo Maria Magdalene, pia Maria mama ya Yakobo na Yose, na mama ya wana wa Zebedayo.+