1 Wakorintho 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wakati huu, akina ndugu, kama ningekuja kwenu nikisema kwa lugha, ningewapa faida gani isipokuwa kama ningesema nanyi ama kwa ufunuo+ au kwa ujuzi+ au kwa unabii au kwa fundisho? Wagalatia 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa maana sikuipokea kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa hiyo, isipokuwa kupitia ufunuo wa Yesu Kristo.+
6 Lakini wakati huu, akina ndugu, kama ningekuja kwenu nikisema kwa lugha, ningewapa faida gani isipokuwa kama ningesema nanyi ama kwa ufunuo+ au kwa ujuzi+ au kwa unabii au kwa fundisho?
12 kwa maana sikuipokea kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa hiyo, isipokuwa kupitia ufunuo wa Yesu Kristo.+