1 Wakorintho 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa mfano, mtu mmoja hupewa maneno ya hekima+ kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi+ kulingana na roho ileile, 2 Wakorintho 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini hata kama sina ustadi wa kusema,+ hakika sivyo nilivyo katika ujuzi;+ lakini katika kila njia tuliwafunulia ninyi hilo katika mambo yote.+
8 Kwa mfano, mtu mmoja hupewa maneno ya hekima+ kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi+ kulingana na roho ileile,
6 Lakini hata kama sina ustadi wa kusema,+ hakika sivyo nilivyo katika ujuzi;+ lakini katika kila njia tuliwafunulia ninyi hilo katika mambo yote.+