2 Lakini nilipanda kwenda kutokana na ufunuo.+ Nami nikaweka mbele yao+ habari njema ambayo ninahubiri kati ya mataifa, hata hivyo, kwa faragha, mbele ya wale waliokuwa watu wenye kutokeza, ili isije kuwa kwamba kwa njia fulani nilikuwa ninakimbia+ au nilikuwa nimekimbia bure.+