2 Mambo ya Nyakati 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Tazama, nitakukusanya wewe kwa mababu zako, nawe hakika utakusanywa kwenye uwanja wa kaburi lako kwa amani,+ na macho yako hayatauona msiba+ wote ninaouleta juu ya mahali hapa na wakaaji wake.’”’”+ Ndipo wakamletea mfalme jibu.
28 Tazama, nitakukusanya wewe kwa mababu zako, nawe hakika utakusanywa kwenye uwanja wa kaburi lako kwa amani,+ na macho yako hayatauona msiba+ wote ninaouleta juu ya mahali hapa na wakaaji wake.’”’”+ Ndipo wakamletea mfalme jibu.