2 Mambo ya Nyakati 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndiyo sababu nitakuzika pamoja na mababu zako,* nawe utalazwa kwa amani katika kaburi lako, na macho yako hayataona msiba wote nitakaoleta mahali hapa na kwa wakaaji wake.’”’”+ Kisha wakampelekea mfalme jibu hilo. 2 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:28 Ufahamu, uku. 591
28 Ndiyo sababu nitakuzika pamoja na mababu zako,* nawe utalazwa kwa amani katika kaburi lako, na macho yako hayataona msiba wote nitakaoleta mahali hapa na kwa wakaaji wake.’”’”+ Kisha wakampelekea mfalme jibu hilo.