29 “Je, umeona jinsi ambavyo Ahabu amejinyenyekeza kwa sababu yangu?+ Kwa sababu amejinyenyekeza mbele zangu, sitauleta msiba huo akiwa hai. Nitailetea nyumba yake msiba huo katika siku za mwanawe.”+
8 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.” Kisha akasema: “Kwa sababu kutakuwa na amani na utulivu* wakati wa maisha yangu.”*+