Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 41:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Semeni mambo ambayo yatakuja baadaye, ili tujue kwamba ninyi ni miungu.+ Ndiyo, mnapaswa kutenda mema au kutenda mabaya, ili tutazame huku na huku na kuyaona wakati uleule.+

  • Isaya 43:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tazama! Ninafanya jambo jipya.+ Sasa litachipuka. Ninyi mtalijua, sivyo?+ Kwa kweli, nitaweka njia kupitia nyikani,+ kupitia mito ya jangwani.+

  • Amosi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+

  • 2 Petro 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu+ kama walivyoongozwa na roho takatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki