23 Semeni mambo ambayo yatakuja baadaye, ili tujue kwamba ninyi ni miungu.+ Ndiyo, mnapaswa kutenda mema au kutenda mabaya, ili tutazame huku na huku na kuyaona wakati uleule.+
21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu+ kama walivyoongozwa na roho takatifu.+