15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+
18 Nitafungua mito juu ya vilima vitupu, na mabubujiko katikati ya nchi tambarare za bondeni.+ Nitaifanya nyika kuwa dimbwi la maji lenye matete mengi, na nchi isiyo na maji kuwa chemchemi za maji.+