Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 46:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kuna mto ambao vijito vyake hulifanya jiji la Mungu lishangilie,+

      Maskani kuu takatifu zaidi ya Aliye Juu Zaidi.+

  • Isaya 30:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na juu ya kila mlima mrefu na juu ya kila kilima kirefu kutakuja kuwa na vijito,+ mitaro ya maji, katika siku ile ya mauaji makubwa wakati minara itakapoanguka.+

  • Yoeli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki