25 Na juu ya kila mlima mrefu na juu ya kila kilima kirefu kutakuja kuwa na vijito,+ mitaro ya maji, katika siku ile ya mauaji makubwa wakati minara itakapoanguka.+
18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+