Isaya 57:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Mwadilifu ameangamia,+ lakini hakuna anayeweka jambo hilo moyoni.+ Na watu wa fadhili zenye upendo wanakusanywa kwa wafu,+ hali hakuna anayetambua kuwa ni kwa sababu ya msiba kwamba mwadilifu amekusanywa.+
57 Mwadilifu ameangamia,+ lakini hakuna anayeweka jambo hilo moyoni.+ Na watu wa fadhili zenye upendo wanakusanywa kwa wafu,+ hali hakuna anayetambua kuwa ni kwa sababu ya msiba kwamba mwadilifu amekusanywa.+