1 Mambo ya Nyakati 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kana kwamba hilo halitoshi, Ee Mungu, unasema pia kwamba nyumba yangu mimi mtumishi wako itadumu kwa muda mrefu,+ nawe umeniona kuwa mtu anayepaswa kukwezwa zaidi,* Ee Yehova Mungu.
17 Na kana kwamba hilo halitoshi, Ee Mungu, unasema pia kwamba nyumba yangu mimi mtumishi wako itadumu kwa muda mrefu,+ nawe umeniona kuwa mtu anayepaswa kukwezwa zaidi,* Ee Yehova Mungu.