Zaburi 139:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 139 Ee Yehova, umenichunguza kabisa, nawe unanijua.+ Methali 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi! Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi!
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+