14 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu.+ Atakapofanya makosa, nitamkaripia kwa fimbo+ ya wanadamu na kwa mapigo ya wana wa Adamu.
5 Kwa mfano, alipata kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; mimi, leo, nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake, na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu”?+