14 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu.+ Atakapofanya makosa, nitamkaripia kwa fimbo+ ya wanadamu na kwa mapigo ya wana wa Adamu.
17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu,+ wakati maneno ya namna hii yalipotolewa kwake kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+