29 Na sasa ujichukulie wajibu, na kuibariki+ nyumba ya mtumishi wako ili iendelee mpaka wakati usio na kipimo mbele zako;+ kwa maana wewe mwenyewe, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, umeahidi, na kutokana na baraka yako, acha nyumba ya mtumishi wako ibarikiwe mpaka wakati usio na kipimo.”+