Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni Mwenye Kuinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;+

      Humwinua maskini kutoka katika shimo la majivu,+

      Ili awafanye wakae pamoja na watu wenye vyeo; naye huwapa urithi+ wa kiti cha ufalme cha utukufu.+

      Kwa maana nguzo za dunia+ ni za Yehova,

      Naye huiweka nchi yenye kuzaa juu ya hizo.

  • Zaburi 89:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wakati huo uliongea na washikamanifu wako katika maono,+

      Nawe ukasema:

      “Nimempa mwenye nguvu msaada;+

      Nimemwinua aliyechaguliwa kutoka katikati ya watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki