Kutoka 40:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Katika siku ya mwezi wa kwanza,+ siku ya kwanza ya mwezi, utaisimamisha maskani ya hema la mkutano.+ 2 Samweli 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo wakaliingiza ndani sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.
2 “Katika siku ya mwezi wa kwanza,+ siku ya kwanza ya mwezi, utaisimamisha maskani ya hema la mkutano.+
17 Kwa hiyo wakaliingiza ndani sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.