Kumbukumbu la Torati 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Kwa maana ikiwa mtaishika kabisa amri yote hii+ ninayowaamuru ninyi ili kuifanya, kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake+ na kushikamana naye,+ Kumbukumbu la Torati 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, nanyi mnapaswa kumwogopa yeye, nanyi mnapaswa kuzishika amri zake, nanyi mnapaswa kuisikiliza sauti yake, nanyi mnapaswa kumtumikia yeye, nanyi mnapaswa kushikamana naye.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
22 “Kwa maana ikiwa mtaishika kabisa amri yote hii+ ninayowaamuru ninyi ili kuifanya, kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake+ na kushikamana naye,+
4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, nanyi mnapaswa kumwogopa yeye, nanyi mnapaswa kuzishika amri zake, nanyi mnapaswa kuisikiliza sauti yake, nanyi mnapaswa kumtumikia yeye, nanyi mnapaswa kushikamana naye.+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+