Kumbukumbu la Torati 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mnapaswa kuzishika kwa vyovyote amri za Yehova Mungu+ wenu na ushuhuda+ wake na masharti+ yake ambayo amekuamuru.+ Kumbukumbu la Torati 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Na itatukia kwamba ikiwa mtatii amri+ zangu ninazowaamuru ninyi leo ili kumpenda Yehova Mungu wenu na kumtumikia kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote,+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
17 Mnapaswa kuzishika kwa vyovyote amri za Yehova Mungu+ wenu na ushuhuda+ wake na masharti+ yake ambayo amekuamuru.+
13 “Na itatukia kwamba ikiwa mtatii amri+ zangu ninazowaamuru ninyi leo ili kumpenda Yehova Mungu wenu na kumtumikia kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote,+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.