Kumbukumbu la Torati 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nawe ushike amri za Yehova Mungu wako kwa kutembea katika njia zake+ na kwa kumwogopa.+ Kumbukumbu la Torati 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+ 1 Wathesalonike 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ili kwamba mwendelee kutembea+ kwa kumstahili Mungu anayewaita+ ninyi kwenye ufalme+ na utukufu wake.
12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+
12 ili kwamba mwendelee kutembea+ kwa kumstahili Mungu anayewaita+ ninyi kwenye ufalme+ na utukufu wake.