5 Lakini muwe waangalifu sana kutekeleza amri na Sheria ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa,+ kwa kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake zote,+ kushika amri zake,+ kushikamana naye,+ na kumtumikia+ kwa moyo wenu wote na nafsi yenu yote.”+