1 Mambo ya Nyakati 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, Mfalme Daudi akamwambia Ornani: “Hapana, ni lazima niununue kwa bei kamili, kwa sababu sitachukua kitu chako na kumpa Yehova au kutoa dhabihu za kuteketezwa ambazo hazinigharimu chochote.”+
24 Hata hivyo, Mfalme Daudi akamwambia Ornani: “Hapana, ni lazima niununue kwa bei kamili, kwa sababu sitachukua kitu chako na kumpa Yehova au kutoa dhabihu za kuteketezwa ambazo hazinigharimu chochote.”+