1 Samweli 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baada ya muda, nabii Gadi+ akamwambia Daudi: “Usiendelee kukaa mahali pasipoweza kufikiwa. Nenda zako, unapaswa kurudi katika nchi ya Yuda.”+ Kwa hiyo Daudi akaenda zake, akaingia katika msitu wa Herethi. 1 Mambo ya Nyakati 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yehova akamwambia Gadi,+ mwonaji wa Daudi,+ na kusema:
5 Baada ya muda, nabii Gadi+ akamwambia Daudi: “Usiendelee kukaa mahali pasipoweza kufikiwa. Nenda zako, unapaswa kurudi katika nchi ya Yuda.”+ Kwa hiyo Daudi akaenda zake, akaingia katika msitu wa Herethi.