Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakati Daudi alipoamka asubuhi, neno la Yehova likamjia Gadi+ nabii, mwonaji+ wa Daudi, na kusema:

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Yehova akamwambia Gadi,+ mwonaji wa Daudi,+ na kusema:

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na mambo ya Daudi mfalme, ya kwanza na ya mwisho, yameandikwa katika maneno ya Samweli mwonaji+ na katika maneno ya nabii Nathani+ na katika maneno ya Gadi+ mwonaji,

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wakati huohuo akawaweka Walawi+ katika nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ na vinanda+ na vinubi,+ kulingana na amri ya Daudi+ na ya Gadi+ mwonaji wa mfalme na ya nabii Nathani,+ kwa maana amri hiyo ilikuwa kulingana na mkono wa Yehova kupitia manabii wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki