Mwanzo 31:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye akakimbia, akaondoka na kuvuka ule Mto,+ yeye na vyote alivyokuwa navyo. Baada ya hapo akaelekeza uso wake kwenye eneo lenye milima la Gileadi.+ Hesabu 32:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Basi Musa akampa Makiri mwana wa Manase, Gileadi, naye akakaa humo.+
21 Naye akakimbia, akaondoka na kuvuka ule Mto,+ yeye na vyote alivyokuwa navyo. Baada ya hapo akaelekeza uso wake kwenye eneo lenye milima la Gileadi.+