13 Na ile Gileadi+ nyingine na Bashani+ yote ya ufalme wa Ogu nimewapa nusu ya kabila la Manase. Eneo lote la Argobu+ la Bashani yote, je, haliitwi nchi ya Warefaimu?+
31 Na nusu ya Gileadi, na Ashtarothi+ na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu katika Bashani, ikaenda kwa wana wa Makiri+ mwana wa Manase, kwa nusu ya wana wa Makiri kulingana na familia zao.
17Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake.