Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na ile Gileadi+ nyingine na Bashani+ yote ya ufalme wa Ogu nimewapa nusu ya kabila la Manase. Eneo lote la Argobu+ la Bashani yote, je, haliitwi nchi ya Warefaimu?+

  • Yoshua 13:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na nusu ya Gileadi, na Ashtarothi+ na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu katika Bashani, ikaenda kwa wana wa Makiri+ mwana wa Manase, kwa nusu ya wana wa Makiri kulingana na familia zao.

  • Yoshua 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki