1 Wafalme 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 mwana wa Geberi, kule Ramothi-gileadi+ (alikuwa na vijiji vya mahema vya Yairi+ mwana wa Manase, vilivyoko Gileadi;+ alikuwa na eneo la Argobu,+ lililoko Bashani:+ majiji makubwa 60 yenye kuta na mapingo ya shaba);
13 mwana wa Geberi, kule Ramothi-gileadi+ (alikuwa na vijiji vya mahema vya Yairi+ mwana wa Manase, vilivyoko Gileadi;+ alikuwa na eneo la Argobu,+ lililoko Bashani:+ majiji makubwa 60 yenye kuta na mapingo ya shaba);