Hesabu 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Baada ya hapo wakageuka, wakapanda wakipitia njia ya Bashani.+ Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka nje ili kukutana nao, yeye pamoja na watu wake wote, katika vita vya Edrei.+ Yoshua 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na Gileadi na eneo la Wageshuri+ na Wamaakathi na Mlima Hermoni+ wote na Bashani+ yote hadi Saleka;+ Zaburi 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ng’ombe-dume wengi wachanga wamenizingira;+Wale wenye nguvu wa Bashani wamenizunguka.+
33 Baada ya hapo wakageuka, wakapanda wakipitia njia ya Bashani.+ Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka nje ili kukutana nao, yeye pamoja na watu wake wote, katika vita vya Edrei.+
11 na Gileadi na eneo la Wageshuri+ na Wamaakathi na Mlima Hermoni+ wote na Bashani+ yote hadi Saleka;+