Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 baada ya kumshinda Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa kule Heshboni, na Ogu+ mfalme wa Bashani, aliyekuwa akikaa kule Ashtarothi,+ katika Edrei.+

  • Kumbukumbu la Torati 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Ogu mfalme wa Bashani ndiye tu aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu.+ Tazama! Sanduku lake lilikuwa sanduku la chuma. Je, haliko kule Raba+ kwa wana wa Amoni? Urefu wake ni mikono tisa, na upana wake ni mikono minne, kwa mkono wa mwanadamu.

  • Kumbukumbu la Torati 4:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Nao wakaimiliki nchi yake na nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani, wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa katika eneo la Yordani kuelekea mashariki,

  • Yoshua 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na yote ambayo aliwatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ mfalme wa Heshboni na Ogu+ mfalme wa Bashani, aliyekuwa katika Ashtarothi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki