Yoshua 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na mambo yote aliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ya* Yordani, yaani, Mfalme Sihoni+ wa Heshboni na Mfalme Ogu+ wa Bashani, aliyekuwa Ashtarothi.
10 na mambo yote aliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ya* Yordani, yaani, Mfalme Sihoni+ wa Heshboni na Mfalme Ogu+ wa Bashani, aliyekuwa Ashtarothi.