33 Baada ya hapo wakageuka, wakapanda wakipitia njia ya Bashani.+ Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka nje ili kukutana nao, yeye pamoja na watu wake wote, katika vita vya Edrei.+
3 Basi Yehova Mungu wetu akamtia mkononi mwetu pia Ogu mfalme wa Bashani pamoja na watu wake wote, nasi tukaendelea kumpiga mpaka akawa hana mwokokaji aliyebaki.+