3 Basi Yehova Mungu wetu akamtia mkononi mwetu pia Ogu mfalme wa Bashani pamoja na watu wake wote, nasi tukaendelea kumpiga mpaka akawa hana mwokokaji aliyebaki.+
12 ufalme wote wa Ogu+ katika Bashani, aliyetawala katika Ashtarothi na katika Edrei+—yeye ndiye aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu+—kwa kuwa Musa aliwapiga na kuwanyang’anya nchi na kuwafukuza.+