33 Baada ya hapo wakageuka, wakapanda wakipitia njia ya Bashani.+ Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka nje ili kukutana nao, yeye pamoja na watu wake wote, katika vita vya Edrei.+
4 Nasi tukateka majiji yake yote wakati huo. Hakukuwa na mji wowote ambao hatukuuchukua kutoka kwao, majiji 60,+ eneo lote la Argobu,+ ufalme wa Ogu katika Bashani.+