8 Na katika eneo la Yordani, kule Yeriko, upande wa mashariki wakatoa Beseri+ nyikani kwenye nchi tambarare ya juu kutoka katika kabila la Rubeni,+ na Ramothi+ katika Gileadi kutoka katika kabila la Gadi, na Golani+ katika Bashani kutoka katika kabila la Manase.