Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 yaani, Beseri+ katika nyika kwenye nchi tambarare ya juu kwa ajili ya Warubeni, na Ramothi+ katika Gileadi kwa ajili ya Wagadi, na Golani+ katika Bashani kwa ajili ya Wamanase.+

  • Yoshua 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika eneo la Yordani, kule Yeriko, upande wa mashariki wakatoa Beseri+ nyikani kwenye nchi tambarare ya juu kutoka katika kabila la Rubeni,+ na Ramothi+ katika Gileadi kutoka katika kabila la Gadi, na Golani+ katika Bashani kutoka katika kabila la Manase.

  • 1 Wafalme 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo mfalme wa Israeli akawaambia watumishi wake: “Je, kweli hamjui kwamba Ramothi-gileadi+ ni jiji letu? Na bado tunasitasita kulichukua kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria.”

  • 2 Wafalme 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Elisha nabii akamwita mmoja wa wana+ wa manabii, kisha akamwambia: “Jifunge viuno+ vyako uchukue chupa+ hii ya mafuta mkononi mwako, uende Ramothi-gileadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki